JK atembelea ubalozi wa Tanzania Washington DC - Sema Naye
Headlines News :
Home » , » JK atembelea ubalozi wa Tanzania Washington DC

JK atembelea ubalozi wa Tanzania Washington DC

Written By Sema Naye - Naipenda Tanzania on Thursday, September 19, 2013 | 12:46 PM

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhm_nhUoMafRsldPXAu5bLF0AGdSPM6CYVI4JPw46H1xwOiMutktVC3Fj5lteSPOrmLBvMO9Mg-OwgqnDAmn5SiqqhAtJZ-dpAwagQ_uPebmT4Q3P7FwkqsEt5UxCA0jXsAc_9irR64SY0/s1600/IMG_8251.JPG
 Rais Dkt Jakaya Kikwete akitembea kwa miguu kutoka hotelini kwake kuja kwenye Ubalozi wa Tanzania Marekani siku ya Jumatano Sept 18, 2013 na kukutana na Mabaozi wa Heshima ambao jana Jumatano wasaini mikataba ya kuwa rasmi Mabalozi wa heshima wataofanyakazi za kuitangaza Tanzania nchini Marekani kwa ajili ya uwekezaji,  Utalii na mambo mengine yatakayosaidia kuinua uchumi wa Tanzania.

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi7dK8XHZ6PFlB49AvFaLHgcn2ZSRKpQIGp6B_lH8UjLVnk4vhOCTaBbQgucrZl3n0FliUFceW3J3hErsIOpDARKMG5Wu7MEzpNmDrwpVqIsCHzboqb5QKRdCoQPZ0b4tCRrXA64-9jO4Q/s1600/IMG_8254.JPGRais Dkt Jakaya Kikwete akisalimiana na Maafisa Ubalozi wakiwemo wafanyakazi mara tu alipoingia Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani uliopo barabra ya 22, Washington, DC.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjXY32cFiHmTl-g8w9bZpo8Nj02W8E5bovS_Sdsg-_OsOLF6oUK9l20t5WOkq-MG30vby8JzqDe-EUOJILdsvG5uY2CAQO0Q3d6t5U20ZtVgE9WHLwUsi0PPOElh9sfSsGoOKWO-JIJoVI/s1600/IMG_8262.JPGRais Dkt Jakaya Kikwete akitia saidi kitabu cha wageni Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani.https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgRsedYZMD4OJFDq4Vq8TJctArWswFZh5UJc4y1jqPou6ozyhILa0JN8_XGMJo-24n71V0xtM86Ri8p8wDBnTV2OoeXlpM3NUJhmPOo5kPv_kALwqfPlevTrwOGN-U8T1lVDfdHrzx_Qdg/s1600/IMG_8264.JPG Rais Dkt. Jakaya Kikwete akisaini kitabu cha wageni huku Mhe. Waziri Bernard Membe na Mhe. Balozi Liberata Mulamula wakishuhudia.
 
RaIs Dkt. Jakaya Kikwete akisalimiana na Mama William alipokua akiingia chumba cha mikutano cha Nyerere.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgz_fpsM9miWx5i6aiQMqBj55qBIt7Azso1JfdW8xYmAmjeQjkOb_4lHLdloktyJIFid354tGPB8H-Akia8we0HegGVn68hK4hd-xoLV3qO9Ea44qECkE6hSTgUpAFgIzs9ct9JLa6xbvw/s1600/IMG_8269.JPGRais Dkt Jakaya Kikwete akisalimiana na mmoja wa Mabalozi wa Heshima.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhQfksyoy21yfN65YR8oG0f9XiyZ9oPEnBk_B2nodythQinU2dL8IXbSeJxljVIaafVccj79SqqJ7XkDAewfQUHsWlUzGRIyPozfqTXHge6lPO1ThkRLY-7795gmak3zMt5b_jOB6Xd8EQ/s1600/IMG_8271.JPGRais Dkt Jakaya Kikwete akisalimiana na Balozi wa Heshima Hon. Kjell Bergh kutoka Minnesota.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjxAID1sm4Mvqz0gDqL5sWfO82Yu1aqOsuwQGTPTvjfk1SeFIHNlyHk4Ugto301fzBRSDqcqDVDfMcutJYdjS0V3aKAzZxJl0QrR_Rq8lrX6JjDaf6TNZ2KlTsE34J-DzV0XeGQlB41B6I/s1600/IMG_8272.JPGRais Dkt Jakaya Kikwete akisalimiana na Balozi wa Heshima Hon Ahmed Issa kutoka California.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjJRCqnjrcSwp3ECXy_bCJSYsn32KJcSAvkHolXC4N2MK1GCp6ndSgS0X86HRGY6DXsPtNzMqef72cFuWmF8EpT0dJj7z9U4LdnF-C-MG_kXW2rq9hkRzICn8Rv5sEC831avfCB6dhh29Q/s1600/IMG_8273.JPGRais Dkt Jakaya Kikwete akisalimiana na Balozi wa Heshima Hon. Robert Samuel Shumake kutoka Michigan.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgpB_UgRh4IP6VaP80oa5xIYXImstbfWwqlAOJa8wu_cCN-8iBQ3GmZYQgKq9RMuqYVvq50SrkKCpLQSN_TqdP3acPvfm11QJVvCqF0ts675bx3mp4DVmf7lFtD6F2Lb-wWs5j1oyeEOHk/s1600/IMG_8299.JPG 
 Rais Dkt Jakaya Kikwete akiongea machache kuwashukuru Mabalozi wa Heshima kwa kukubali kwao kuitangaza Tanzania nchini Marekani na kusema sio kazi rahisi lakini ana Imani nao na aliwatakia kila la kheri ya kuwa na nia thabiti ya kuitangaza Tanzania nchini Marekani.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgfCGq2IJezjkeWnYYE06kpdkYfYmWNbR-Vq0yH9OcZnmcDXKxgkASGvEMq5AjkmJVCjIcIvc9eYoMPUQ3vmi4LAYXtaExCxrBotPFd_oPdeqBn7WH2SEShBCmfWoSocpybMc1LZPgVYYI/s1600/IMG_8296.JPG
Rais Dkt Jakaya Kikwete akipokea zawadi ya saa kutoka kwa Balozi wa Heshima Hon. Robert Samuel Shumake kutoka Michigan. Kulia ni balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe Liberata Mulamula.
Share this article :

0 comments:

 
Support : 255-272-545-994 | Jasper A.K. | Mas Template
Copyright © 2011. Sema Naye - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger