Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashillila akiongoza Kamati ya maandalizi ya Mkutano wa 34 wa Jukwaa la Mabunge ya Nchi Wanachana wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-PF) mara baada ya kuwasili jijini Arusha na kukutana na wafanyabiashara wanaomiliki Hoteli jijini humo.
Kamati ya Maandalizi pamoja na wamiliki wa Hoteli Jijini Arusha wakiwa kwenye picha ya pamoja.
0 comments:
Post a Comment