Ujenzi wa Barabara ya Kutoka Manyoni,Itigi mpaka Tabora waendelea
Written By Sema Naye - Naipenda Tanzania on Saturday, September 14, 2013 | 10:03 PM
Ujenzi wa Barabara ya Kutoka Manyoni,Itigi mpaka Tabora unaonekana kwenda kwa kasi nzuri kama inavyoonekana pichani.Barabara hiyo ina Urefu wa Kilometa 254 na iwapo itakamilika kama ilivyopangwa,itakuwa imerahisisha sana safari kwa watumiaji wa njia hiyo watakaokuwa wanakwenda Mkoani Tabora na maeneo mengine.
Moja ya Katapila likiendelea na kazi ya Ujenzi katika Barabara hiyo.
Mafundi wakiweka moja ya Madaraja katika barabara hiyo.
Kifusi kikimwagwa.
Sehemu ya Mkeka huo iliyokamilika,japo bado magari hayajaanza kuruhusiwa kutumia.
0 comments:
Post a Comment