Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akipokelewa na Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali Mhe. Ludovick Uttoh, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya PAC Mhe. Zitto Kabwe na Mwenyekiti wa SADCOPAC Mhe. Sipho Makama kutoka Afrika Kusini alipokuwa akiwasili katika Ukumbi wa AICC Arusha kufungua Mkutano wa Mwaka wa SADCOPAC kwaniaba ya Rais Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.
Kwa hisani ya MICHUZI BLOG
0 comments:
Post a Comment