CCM YAPOKELEWA KWA SHANGWE NA NDEREMO SHIRATU - Sema Naye
Headlines News :
Home » , » CCM YAPOKELEWA KWA SHANGWE NA NDEREMO SHIRATU

CCM YAPOKELEWA KWA SHANGWE NA NDEREMO SHIRATU

Written By Sema Naye - Naipenda Tanzania on Wednesday, September 25, 2013 | 6:39 PM

KINANA AWEKA HISTORIA KATIKA VIWANJA VYA SHIRATI OBWERE MAELFU YA WATU WAFURIKA KUMSIKILIZA KATIBU MKUU VIONGOZI 43 KUTOKA UPINZANI WARUDISHA KADI WANACHAMA 126 WAJIUNGA HAPO HAPO

 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjiJo3zM2_opOo5IvKxpgCtFvBLeaOX9CPZWRq6yEeUmbRBzsnD-1FFmoKOGibgU50HFxwgmLSlPH5tufmJ488Gdt_Wdx7EpKdFePnQf46fD3zRSnvdQKNjsjpLMSc4NuN58BkQEWT3EXbB/s1600/gz1b.jpg
Mbunge wa Rorya Ndugu Lameck Okambo Airo akihutubia wakazi wa Shiratu waliofurika kwenye uwanja wa Shiratu Obwere,Mbunge huyo alieleza jinsi gani amefanikiwa kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM.
 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgSlcZDP1GEEbM3lgX55ZaVQ8Rl4gEKIfHev9Th8X4CiC3W8TnLe8G06cQB-TC7VaNsiBWH3cgaS2QuBqZmWDLSDh19d_lsFyhNtEOPukrVXEXf6rG8vCWB_vN4bBRVQIBHfUdBfMDnjEEJ/s1600/gz3b.jpg

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Ndugu Joseph Musukuma akiwasalimu wakazi wa Shiratu ,na kuwapongeza wananchi wa wilaya ya Rorya kwa umoja na mshikamano walio nao.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhSMXH7HPbLb4TDVvZpwI_3ntXJ5JARChn02WOPbIlO3a76KQ8hxzymjfdKTNKNXQ_UIY5_4KjjeyZlci0MGvxi4ufKpaMeHdTNNiQNHcTbK5I6ocVeWHBQV3BZ3UZojuXXT34LCbm-PBE0/s1600/gz4b.jpg

Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake nchini Ndugu Amina Makilagi akihutubia wakazi wa Shiratu kwenye mkutano wa hadhara ambao mgeni Rasmi alikuwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgEWvHGV95cNDnwHBkEQNwgSrDkFQcuAuH_DYC41-54KF_gvX9ZRWk3d6VnNVohesdWj-vh6LFGWxnPqYh3Tq1l-WgIZcACnRPeNSFNgIAcMZgObFbrp_tGmLv1Wfs5bHZb8G8lxUxmrQAS/s1600/8.jpg
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Shiratu wilaya ya Rorya na kuwataka wananchi hao kuwapuuza wanaotaka kuharibu mchakato wa kupata Katiba Mpya kwani Mchakato wa Katiba hiyo imefuata taratibu zote za kisheria.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgDxzQjXdm0ZPLNSlOJAZHNExBg2F37Pn74ew1klHLlQeJZqHlpESTJgrHCqCjRZL91RQEeQTtjRrW90BWtipEt58dB7c95V2nOZ6GmkldZSvuQPzYfBqZoxLxHYiKGYLCrAmWxyMXPBgor/s1600/1.jpg

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Shiratu kwenye viwanja vya Shiratu Obwere na kuwaambia wakazi wa Shiratu kuwa CCM inatekeleza ahadi zake ilizoahidi kwa wakazi wa wilaya ya Rorya ,Katibu Mkuu aliwaeleza wananchi hao mipango iliyofanyika na itakayofanyika kwa ajili ya maendeleo ya wilaya hiyo,hasa katika suala zima la mradi wa umeme vijijini,maji,shule na huduma za afya.
 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgVlfSejiHq1Vqwp5nriIomBn9sRpX43iZpHHVo0-yT5KE3A_la564fXM3YuG267U-MfL0hGCZKrotsc-eT-qq_uWiKfvVdK13o7PBhXI5TTXss7WARhvdJGJrH549ikkk0VfVu0WslD1mt/s1600/gzb11.jpg

Sehemu ya Umati wa watu walifurika kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kwenye Uwanja wa Shiratu Obwere tarehe 24 Septemba 2013.
Share this article :

0 comments:

 
Support : 255-272-545-994 | Jasper A.K. | Mas Template
Copyright © 2011. Sema Naye - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger