Mbunge Sugu akijikuta Matatani na Polisi wa Bunge baada ya kukaidi amri ya Naibu spika
Wabunge wa Chadema wakiwa wamesimama kukaidi amri ya Naibu spika, Job Ndugai ya kuwataka wakae chini
Wabunge wa CHADEMA wakipambana na Polisi, Bungeni Mjini Dodoma leo
Mbunge wa Kuteuliwa na Mwenyekiti wa NCCR_MAGEUZI, James Mbatia akishangaa vituko vya wabunge wa CHADEMA na Polisi Bungeni
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi akiwa ameng'ang'ania Microphone Bungeni wakati polisi walipokuwa wakimtoa Bungeni Mjini Dodoma leo
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi aakiwa ameng'ang'ania Migrophone ya sehemu ya Kuzungumzia wapinzani Bungeni wakati polisi walipokuwa wakimtoa Bungeni Mjini Dodoma leo. hata hivyo Microphone hiyo iling'oka na polisi wakafaikiwa kumtoa nje
Microphone hiyo iling'oka na polisi wakafanikiwa kumtoa nje
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi akitolewa na Askari Polisi nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo
Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe akiongoza wabunge wa CHADEMA kutoka Bungeni mjini Dodoma baada ya kuamriwa kufanya hivyo na Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai baada ya kuendelea kukaidi kutii Kiti cha Spika
Mbunge wa Mbeya Mjini akitulizwa mzuka na wabunge wa CHADEMA baada ya kutolewa na polisi, Bungeni Mjini Dodoma leo
0 comments:
Post a Comment