Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Muhammed Shein akikata utepe kuzindua Jengo jipya la kituo cha Jamii na watoto cha (ZAPHA+) (kushoto) Mwenyekiti wa Bodi ya wazamini wa kituo hicho Bi. Hasina Hamadi. Welezo nnje kidogo ya Mji Zanzibar.
Na Khadija khamis na Riziki Salum Maelezo Zanzibar
0 comments:
Post a Comment