KINANA AWATAKA MAWAZIRI KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI - Sema Naye
Headlines News :
Home » , » KINANA AWATAKA MAWAZIRI KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

KINANA AWATAKA MAWAZIRI KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

Written By Sema Naye - Naipenda Tanzania on Monday, September 16, 2013 | 12:19 PM

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgvUIKTqvlxY54XrNyfmuS-5SoYzUPCQ-gaZhcENTjQYF0NUxygD3dJOgiC0mVIhFU6wYbHwBz-L92c3Ijucawev2hsExuHzrJ3ZifcY55kj0qHLB8gjhOvXRwWnn08s_rkMHmUDQHsWPmV/s1600/gz4.jpgKatibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahaman Kinana akihutubia wakazi wa kata ya Mwangesela wilayani Meatu mkoani Simiyu.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjHkxnPr86FMeYzF2aAziPqTyVj8IUhXnqkFMngW6tjl4JA7OUcOriThJ5kbPGcLFKb0yKRZ9IVf7sP-2cXdBX_6NKzBEqwgO6u1YoR-LAbk3i4_hOSyghVeZ34dYw7T_VNCoO1XkGnVnIJ/s1600/gz1.jpgKatibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wakazi wa kata ya Mwandoya ,kijiji cha Mandoya tarafa ya Kisesa ambapo Katibu Mkuu alipata maelezo ya utekelezaji wa ilani ya CCM.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgYYBMkQj4pZZHHtxBwpQBocuYrzqFeBRqxS3Wr9hpk4ghvoeLIuRZGsYKUGd00gU8i4dVguhfb0XpmFZFYnRtwryVypswu9x7ll6ADu8j4DgGO_7QWwzkDVl6ardhphE7qvKDIG0eEbZlb/s1600/gz5.jpgMbunge wa Kisesa Luhaga Mpina akiwatambulisha wazazi wake kwenye mkutano wa hadhara ambapo aliwaambia wananchi ilimchukua miezi mitatu kukubaliwa kwa ombi lake la kutaka kugombea ubunge jimboni kwake.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgjiBdtd4g07Z4wxl_S8wwbVWveaM2HIi1MFNP6AzqeF4walL0V7VVq9HNpbtyY4S3K3TRx3GshfB4e3C3S6HYmBjEMhDPmkF7LBnGL-G9J_rGN9K1N9C_G0vPS1wbgYONAORAA1R56ZVUC/s1600/gz6.jpgKatibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa kwenye picha ya pamoja na Mbunge wa Kisesa Ndugu Luhaga Mpina pamoja na wazazi wa mbunge huyo.



Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana amewataka mawaziri husika kutatua kero za wananchi baada ya watendaji wa chini kushindwa kufanya kazi zao, alisema sasa baadhi ya watendaji wamegeuza kero za wananchi mitaji  na kuwachajisha pesa nyingi hasa wafugaji.

Akihutubia wakazi wa kata ya Mwasengela alisema mawaziri lazima wachukue jukumu la moja kwa moja kutatua matatizo ya wananchi, alisema wafugaji wa kata ya Mwasengela wamekuwa wakibughudhiwa na watu wa hifadhi ya Maswa  kupita kiasi, alisema sheria zingine ziangalia wakati zinaweza zikawa zimepitwa na wakati hivyo ni vyema zikarekebishwa.

Share this article :

0 comments:

 
Support : 255-272-545-994 | Jasper A.K. | Mas Template
Copyright © 2011. Sema Naye - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger