Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana awakuna Wakazi wa Kahama kwa hotuba yake,avuna wanachama zaidi - Sema Naye
Headlines News :
Home » » Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana awakuna Wakazi wa Kahama kwa hotuba yake,avuna wanachama zaidi

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana awakuna Wakazi wa Kahama kwa hotuba yake,avuna wanachama zaidi

Written By Sema Naye - Naipenda Tanzania on Tuesday, September 10, 2013 | 7:44 PM

Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahman Kinana akipokea kadi kutoka vyama vya upinzani  baada ya wananchi wengi kuridhika na hotuba yake nzuri, katika mkutano huo zaidi ya wanachama 560 wamejiunga na CCM kutoka vyama vya upinzani.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Kahama wakati mkutano wa hadhara uliofanika leo mjini Kahama.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa Nape Nnauye akiwa na Mbunge wa Msalala Ezekiel Maige wakishiriki kucheza ngoma ya wakazi wa Isaka kabla ya kuhutubia kwenye mkutano wa Hadhara. 
Sehemu ya Umati uliofurika kusikiliza hotuba za viongozi mahiri wa CCM, Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye leo kwenye viwanja vya CDT mjini Kahama.
Share this article :

0 comments:

 
Support : 255-272-545-994 | Jasper A.K. | Mas Template
Copyright © 2011. Sema Naye - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger