JK azindua shule ya Msingi Ntulya jijini Mwanza - Septemba 06,2013 - Sema Naye
Headlines News :
Home » , » JK azindua shule ya Msingi Ntulya jijini Mwanza - Septemba 06,2013

JK azindua shule ya Msingi Ntulya jijini Mwanza - Septemba 06,2013

Written By Sema Naye - Naipenda Tanzania on Friday, September 6, 2013 | 9:49 PM

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiJkU-1cjEDMWoyVssf3HuDB-6GCDf43Nc-1bwMm6wO8xN6cmTwW56TlgcApL6TkCgIKIvVjhJhSL93-9wGZ8LoQZjdlTWSTgKl0YkkrwwBeecW6gMBzzHZXy4tIZ65ES4vhNGIXFlB4pBT/s1600/0L7C3761.jpg
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Mwanzilishi na Mkurugenzi waShirika la Africa School House Bi.Ainee Bessire (watatu kushoto) pamoja naMbunge wa Misungwi Charles Kitwangwa(kushoto) na mkuu wa mkoa wa Mwanza Injinia Evarist Ndikilo(kulia) wakikata utepe kuzindua rasmi shule ya msingi Ntulya katika kata ya Mondo wilayani Misungwi.Shule hiyo imejengwa kwa msaada wa Shirika lisilo la kiserikali la Africa School House lenye makao yake nchini Marekani.Rais Kikwete yupo katika ziara ya kikazi mkoani Mwanza ambapo atakagua na kufungua miradi mbalimbali ya maendeleo.

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhkTXR6OqR-yqlr2LJt-jGU5jl5-6r8oaDv8dmsm1G-FbOxuGjkhoecTBWoc5klOJQTWymRCB7MZdXPz0VxXvaXSdlmayFziQfeiPqSX6ZTExIIGMhymSUA1b4e09Ae1JKrX1QYMsInJrS3/s1600/0L7C3861.jpgRais Dkt.Jakaya Mrisho akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa shule ya msingi Ntulya muda mfupi baada ya kuizindua katika kata ya Mondo wilayani Misungwi leo. Shule hiyo imejengwa kwa msaada wa Shirika lisilo la kiserikali la Africa School House lenye makao yake nchini Marekani.Rais Kikwete yupo katika ziara ya kikazi mkoani Mwanza ambapo atakagua na kufungua miradi mbalimbali ya maendeleo.
Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu
Share this article :

0 comments:

 
Support : 255-272-545-994 | Jasper A.K. | Mas Template
Copyright © 2011. Sema Naye - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger